Shairi ni kuhusu janga la gonjwa la mlipuko la korona ambalo lime/linaitikisa dunia mpaka sasa
Imeripuka tufana, kuvunja za watu chemba
Tulisema ni wachina, itaishia ilipo
Asia na Afrika, gonjwa limekuwa jipu
COVID kumi na tisa, unaweza itamka
Shule, vyuo - madrasa, vimefungwa kisheria
Hizi ni zake dalili, ukiwa nazo UNAO
Tuchukue tahadhari, bado tupo kwenye kiza
Nawa mikono vizuri, kabla kazi kuanza
Jingine hili pokea, wasemalo watalamu
Epuka mikusanyiko, isiyokuwa lazima
Wito wangu kwako dada, mama na bibi kizee
AUTHOR: Saidi Bunduki

Ni kijana ambaye anajishughulisha na Uandaaji na Uandishi wa makala mbali mbali zikiwemo AFYA, TEKNOLOJIA, MAISHA, SIMULIZI n.k. Pia ni mtunzi wa MASHAIRI ya Kiswahili pamoja na vitabu - 0623 12 33 44

/fa-clock-o/Trending posts$type=list
Recent with thumb$type=blogging$m=0$cate=0$sn=0$rm=0$c=4$va=0
Random posts$type=list-tab$date=0$au=0$c=5$src=random-posts
- Afya (48)
- Blogging (9)
- Burudani (28)
- Dini (85)
- Maisha (28)
- Mashairi (51)
- Sitosahau (29)
- Teknolojia (5)
- Usichokijua (15)

Hahaha lipo powa
ReplyDeleteSafi sana
ReplyDeleteShukran
ReplyDeleteVina kati mwanzo na mwisho 🔥🔥
ReplyDeleteTunajaribu mkuu kama nasi tutaweza
DeleteSafi sana.ujumbe mzuri sana,pongezi kwake.amina
ReplyDeleteShukran kiongozi
Delete